Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 65

Zaburi 65:1-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwako wewe, Mungu katika Sayuni, sifa zetu za kungoja; viapo vyetu vitaletwa kwako.
2Wewe usikiaye maombi yetu, miili yote itakuja kwako.
3Maovu yanatutawala sisi; kama yalivyo makosa yetu, wewe utayasamehe.
4Amebarikiwa mtu yule ambaye wewe huchagua kumsogeza karibu yako ili kwamba aishi hekaluni mwako. Tutatoshelezwa kwa uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu.

Read Zaburi 65Zaburi 65
Compare Zaburi 65:1-4Zaburi 65:1-4