1Kwako wewe, Mungu katika Sayuni, sifa zetu za kungoja; viapo vyetu vitaletwa kwako.
2Wewe usikiaye maombi yetu, miili yote itakuja kwako.
3Maovu yanatutawala sisi; kama yalivyo makosa yetu, wewe utayasamehe.
4Amebarikiwa mtu yule ambaye wewe huchagua kumsogeza karibu yako ili kwamba aishi hekaluni mwako. Tutatoshelezwa kwa uzuri wa nyumba yako, hekalu lako takatifu.