Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 64

Zaburi 64:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”

Read Zaburi 64Zaburi 64
Compare Zaburi 64:3-5Zaburi 64:3-5