Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 62

Zaburi 62:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
10Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
11Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.

Read Zaburi 62Zaburi 62
Compare Zaburi 62:9-11Zaburi 62:9-11