Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 60

Zaburi 60:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
7Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
8Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.

Read Zaburi 60Zaburi 60
Compare Zaburi 60:6-10Zaburi 60:6-10