Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 58

Zaburi 58:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Kabla ya vyungu vyenu kupata joto la kuungua kwa miiba, yeye ataviondosha kwa upepo mkali, miiba ya kijani yote na ile inayoungua.
10Mwenye haki atafurahia atakapoona kisasi cha Mungu; ataiosha miguu yake kwenye damu ya waovu,
11hivyo watu watasema, “Hakika kuna tuzo kwa ajili ya mtu wenye haki; hakika kuna Mungu ahukumuye ulimwengu.”

Read Zaburi 58Zaburi 58
Compare Zaburi 58:9-11Zaburi 58:9-11