Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 56

Zaburi 56:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
9Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
10Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
11katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?

Read Zaburi 56Zaburi 56
Compare Zaburi 56:8-11Zaburi 56:8-11