Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 55

Zaburi 55:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao.
16Lakini kwangu mimi, nitamwita Mungu, na Yahwe ataniokoa.
17Wakati wa jioni, asubuhi na mchana ninalalamika na kuomboleza; yeye atasikia sauti yangu.

Read Zaburi 55Zaburi 55
Compare Zaburi 55:15-17Zaburi 55:15-17