Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 54

Zaburi 54:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Naye atawalipizia uovu maadui zangu; katika uaminifu wako, uwaharibu!
6Nitakutolea dhabihu kwa moyo mkunjufu; nitalishukuru jina lako, Yahwe, kwa maana ni jema.
7Kwa kuwa yeye ameniokoa katika kila shida; macho yangu yamewatazama adui zangu yakiwa na ushindi.

Read Zaburi 54Zaburi 54
Compare Zaburi 54:5-7Zaburi 54:5-7