9Uufiche uso wako mbali na dhambi zangu na uyafute maovu yangu yote.
10Uniumbie moyo safi, Mungu, na uifanye upya roho ya haki ndani yangu.
11Usiniondoe uweponi mwako, na usimuondoe roho Mtakatifu ndani yangu.
12Unirudishie furaha ya wokovu wako, na unihifadhi mimi kwa roho ya utayari.