Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 51

Zaburi 51:14-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Unisamehe kwa ajili ya umwagaji damu, Mungu wa wokovu wangu, nami nitapiga kelele za shangwe ya haki yako.
15Ee Bwana, uifungue midomo yangu, na mdomo wangu itazieleza sifa zako.
16Kwa maana wewe haufurahishwi katika sadaka, vinginevyo ningekutolea sadaka; wewe hauwi radhi katika sadaka ya kuteketezwa.
17Sadaka ya Mungu ni roho iliyovunjika. Wewe, Mungu hautadharau moyo uliopondeka na kujutia.
18Uitendee mema Sayuni katika nia yako nzuri; uzijenge tena kuta za Yerusalem.

Read Zaburi 51Zaburi 51
Compare Zaburi 51:14-18Zaburi 51:14-18