Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 49

Zaburi 49:7-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.

Read Zaburi 49Zaburi 49
Compare Zaburi 49:7-12Zaburi 49:7-12