Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 48

Zaburi 48:2-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.

Read Zaburi 48Zaburi 48
Compare Zaburi 48:2-7Zaburi 48:2-7