Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 44

Zaburi 44:9-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.

Read Zaburi 44Zaburi 44
Compare Zaburi 44:9-10Zaburi 44:9-10