Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 44

Zaburi 44:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. Selah
9Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.

Read Zaburi 44Zaburi 44
Compare Zaburi 44:8-11Zaburi 44:8-11