Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 44

Zaburi 44:24-26

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.

Read Zaburi 44Zaburi 44
Compare Zaburi 44:24-26Zaburi 44:24-26