Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 44

Zaburi 44:10-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14Umetufaya kituko kati ya mataifa,...
15Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika

Read Zaburi 44Zaburi 44
Compare Zaburi 44:10-15Zaburi 44:10-15