Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 40

Zaburi 40:13-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Yahwe, tafadhari uniokoe; njoo haraka unisaidie Yahwe.
14Waaibike na wafedheheke kabisa wanaufuatilia uhai wangu wauondoe. Warudishwe nyuma na wadharaulike, wale wanaofurahia kuniumiza.
15Waogopeshwe kwa sababu ya aibu yao, wale waniambiao, “Aha, aha!”
16Bali wale wote wakutafutao wafurahi na kushangilia katika wewe; na kila mmoja apendaye wokovu wako aseme daima, “Asifiwe Yahwe.”
17Mimi ni maskini na muhitaji; lakini Bwana hunifikiria. Wewe ni msaada wangu nawe huja kuniokoa; usichelewe, Mungu wangu.

Read Zaburi 40Zaburi 40
Compare Zaburi 40:13-17Zaburi 40:13-17