Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 40

Zaburi 40:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Nalimungoja Yahwe kwa uvumilivu; alinisikia na kusika kilio changu.
2Yeye akanitoa nje ya shimo la kutisha, nje ya matope, naye aliiweka miguu yangu juu ya mwamba na kuzifanya hatua zangu salama.

Read Zaburi 40Zaburi 40
Compare Zaburi 40:1-2Zaburi 40:1-2