Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 38

Zaburi 38:10-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Moyo wangu unapwita pwita, nguvu zangu zinaniisha, macho yangu yanafifia.
11Marafiki na ndugu zangu wamenitenga kwa sababu ya hali; majirani zangu hukaa mbali nami.
12Wale wanaoutafuta uhai wangu hutega mitego kwa ajili yangu. Wao ambao hutafuta kunidhuru huongea maneno ya uharibifu na husema maneno ya uongo siku nzima.
13Lakini, niko kama mtu kiziwi na sisikii lolote; niko kama mtu bubu ambaye hasemi lolote.
14Niko kama mtu asiye sikia na mbaye hawezi kujibu.

Read Zaburi 38Zaburi 38
Compare Zaburi 38:10-14Zaburi 38:10-14