36Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
37Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
38Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.