Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:36-38

Help us?
Click on verse(s) to share them!
36Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
37Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
38Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:36-38Zaburi 37:36-38