Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:33-39

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Yahwe hatamuacha yeye kwenye mkono wa mtu mwovu wala kumlaumu atakapohukumiwa.
34Umngoje Yahwe na uishike njia yake, naye atakuinua uimiliki nchi. Atakapo waondosha waovu wewe utaona.
35Nimewaona waovu na mtu wa kutisha akienea kama mti wa kijani katika udongo wa asili.
36Lakini nilipopita tana mara nyingine, hakuwepo pale. nilimtafuta, lakini sikumpata.
37Uwachunguze watu waadilifu, na uwatambue wenye haki; kuna hatima nzuri kwa ajili ya mtu wa amani.
38Mwenye dhambi wataharibiwa kabisa; hatima ya mtu mwovu ni kuondoshwa.
39Wokovu wa haki unatoka kwa Yahwe; yeye huwalinda wao nyakati za shida.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:33-39Zaburi 37:33-39