Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 37

Zaburi 37:29-31

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Wenye haki watairithi nchi na kuaa huko milele.
30Mdomo wa mwenye haki huongea hekima na huongeza haki.
31Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake; miguu yake haitelezi.

Read Zaburi 37Zaburi 37
Compare Zaburi 37:29-31Zaburi 37:29-31