Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 36

Zaburi 36:3-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.

Read Zaburi 36Zaburi 36
Compare Zaburi 36:3-4Zaburi 36:3-4