22Yahwe wewe umeona, usikae kimya; Bwana, usiwe mbali nami.
23Inuka mwenyewe na usimame kunitetea; Mungu wangu na Bwana wangu, unitetee.
24Kwa sabababu ya haki yako, Yahwe Mungu wangu, unitetee; usiwaache wafurahi kwa ajili yangu.
25Usiwaache waseme mioyoni mwao, “Aha, tumepata tulicho kihitaji.” Usiwaache waseme, tumemmeza.”