Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 34

Zaburi 34:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.

Read Zaburi 34Zaburi 34
Compare Zaburi 34:8-11Zaburi 34:8-11