Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 33

Zaburi 33:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Kwa neno la Yahwe mbingu ziliumbwa, na nyota zote ziliumbwa kwa pumzi ya mdomo wake.
7Yeye huyakusanya maji ya baharini kama rundo; naye huiweka bahari katika ghala.

Read Zaburi 33Zaburi 33
Compare Zaburi 33:6-7Zaburi 33:6-7