Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 31

Zaburi 31:12-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Nimesahaulika kama mtu aliye kufa ambaye hakuna mtu anaye mfikiria. Niko kama chungu kilicho pasuka.
13Kwa maana nimesikia minong'ono ya wengi, habari za kutisha kutoka pande zote kwa pamoja wamepanga njama kinyume na mimi. Wao wanapanga njama ya kuniua.
14Bali mimi ninakuamini wewe, Yahwe; Ninasema, “Wewe ni Mungu wangu.”
15Hatima yangu iko mikononi mwako. Uniokoe mikononi mwa maadui zangu na wale wanao nifukuzia.
16Nuru ya uso wako imuangazie mtumishi wako; uniokoe katika uaminifu wa agano lako.
17Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni.

Read Zaburi 31Zaburi 31
Compare Zaburi 31:12-17Zaburi 31:12-17