Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 31

Zaburi 31:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kwa kuwa maisha yangu yamechoshwa kwa huzuni na miaka yangu kwa kuugua kwangu. Nimekuwa dhaifu kwa sababu ya dhambi zangu, na mifupa yangu inachakaa.
11Kwa sababu ya maadui zangu wote, watu wananibeza; majirani zangu wanaishangaa hali yangu, na wale wanao nifahamu wanashtuka. Wale wanionao mitaani hunikimbia.
12Nimesahaulika kama mtu aliye kufa ambaye hakuna mtu anaye mfikiria. Niko kama chungu kilicho pasuka.

Read Zaburi 31Zaburi 31
Compare Zaburi 31:10-12Zaburi 31:10-12