Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 2

Zaburi 2:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.

Read Zaburi 2Zaburi 2
Compare Zaburi 2:9-12Zaburi 2:9-12