9Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.