Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 2

Zaburi 2:3-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.

Read Zaburi 2Zaburi 2
Compare Zaburi 2:3-11Zaburi 2:3-11