Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 28

Zaburi 28:2-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
3Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
4Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
5Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
6Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
7Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.

Read Zaburi 28Zaburi 28
Compare Zaburi 28:2-7Zaburi 28:2-7