Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 26

Zaburi 26:6-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
10ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

Read Zaburi 26Zaburi 26
Compare Zaburi 26:6-12Zaburi 26:6-12