Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
7Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
8Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:6-8Zaburi 25:6-8