Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:16-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
18Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
19Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
20Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:16-20Zaburi 25:16-20