Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 25

Zaburi 25:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
16Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!

Read Zaburi 25Zaburi 25
Compare Zaburi 25:15-17Zaburi 25:15-17