Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 21

Zaburi 21:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Wewe umempa yeye matamanio ya moyo wake na hauja mkatalia maombi midomo yake.
3Kwa kuwa wewe unamletea baraka nyingi; wewe uliweka katika kichwa chake taji ya dhahabu iliyo safi kabisa.

Read Zaburi 21Zaburi 21
Compare Zaburi 21:2-3Zaburi 21:2-3