Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 20

Zaburi 20:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
2na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.

Read Zaburi 20Zaburi 20
Compare Zaburi 20:1-2Zaburi 20:1-2