Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 19

Zaburi 19:12-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Ni nani ambaye aweza kuyatambua makosa yake yote mwenyewe? Unitakase makosa yaliyo fichika.
13Pia umuepushe mtumishi wako na dhambi za majivuno; usiziruhusu kunitawala. Ndipo nitakuwa mkamilifu, na mimi sitakuwa na hatia ya makosa mengi.

Read Zaburi 19Zaburi 19
Compare Zaburi 19:12-13Zaburi 19:12-13