Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 19

Zaburi 19:1-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mbingu za tangaza utukufu wa Mungu, na mawingu hufanya kazi ya mikono yake ijulikane!
2Siku hadi siku hotuba hutokea; usiku hadi usiku hufunua maarifa.
3Hakuna hotuba wala misemo; sauti zao hazisikiki.
4Bali maneno yao husambaa nje duniani kote, na hotuba zao hata mwisho wa dunia. Yeye ametengeneza hema kwa ajili ya jua kati yao.

Read Zaburi 19Zaburi 19
Compare Zaburi 19:1-4Zaburi 19:1-4