1Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mbingu za tangaza utukufu wa Mungu, na mawingu hufanya kazi ya mikono yake ijulikane!
2Siku hadi siku hotuba hutokea; usiku hadi usiku hufunua maarifa.
3Hakuna hotuba wala misemo; sauti zao hazisikiki.
4Bali maneno yao husambaa nje duniani kote, na hotuba zao hata mwisho wa dunia. Yeye ametengeneza hema kwa ajili ya jua kati yao.