Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Kisha nchi ikatikisika na kutetemeka; misingi ya milima pia ilitetemeka na kutikiswa kwa sababu Mungu alikuwa amekasirika.
8Moshi ulifuka kutoka kwenye pua zake, na moto mkali ulitokea mdomoni mwake. Makaa yaliwashwa kwa moto huo.
9Yeye alizifunua mbingu na alishuka chini, na giza nene lilikuwa chini ya miguu yake.
10Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:7-10Zaburi 18:7-10