Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:12-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Mawe ya barafu na makaa ya moto yalianguka kutoka katika mwangaza kabla yake.
13Yahwe aliongea katika mbingu! Sauti ya aliye juu ilisikika.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:12-13Zaburi 18:12-13