Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Alipanda kwenye kerubi na akaruka; alinyiririka kwenye mabawa ya upepo.
11Yahwe alilifanya giza kuwa hema likimzunguka yeye, wingu la mvua zito katika mbingu.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:10-11Zaburi 18:10-11