Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 17

Zaburi 17:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
4Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
5Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.

Read Zaburi 17Zaburi 17
Compare Zaburi 17:3-5Zaburi 17:3-5