Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 14

Zaburi 14:4-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Je, hawajui lolote, wale wafanyao uovu, wale wanao kula watu wangu kama vile wanakula mkate, lakini hao hawamuiti Yahwe?
5Wao wana tetemeka kwa hofu. Kwa kuwa Mungu yuko pamoja na kusanyiko la wenye haki!

Read Zaburi 14Zaburi 14
Compare Zaburi 14:4-5Zaburi 14:4-5