Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 149

Zaburi 149:3-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
7kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
8Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
9Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.

Read Zaburi 149Zaburi 149
Compare Zaburi 149:3-9Zaburi 149:3-9