Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 148

Zaburi 148:4-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,

Read Zaburi 148Zaburi 148
Compare Zaburi 148:4-7Zaburi 148:4-7