4Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,