Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 147

Zaburi 147:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
9Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
10Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.

Read Zaburi 147Zaburi 147
Compare Zaburi 147:8-11Zaburi 147:8-11