8Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
9Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
10Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.