Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 147

Zaburi 147:17-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
17Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
18Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
19Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.

Read Zaburi 147Zaburi 147
Compare Zaburi 147:17-19Zaburi 147:17-19