Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 146

Zaburi 146:4-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
5Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
6Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
7Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;

Read Zaburi 146Zaburi 146
Compare Zaburi 146:4-7Zaburi 146:4-7