Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 143

Zaburi 143:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Nakumbuka siku za zamani zilizopita; nayatafakari matendo yako yote; nawaza juu ya utimilifu wako.
6Nakunyoshea mikono yangu katika maombi; nafsi yangu inakuonea kiu katika nchi kavu. Selah
7Unijibu upesi, Yahwe, kwa sababu roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, vinginevyo nitakuwa kama wale waendao chini shimoni.

Read Zaburi 143Zaburi 143
Compare Zaburi 143:5-7Zaburi 143:5-7